Yoeli 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Na mbingu na dunia zitatikisika;Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+Ngome kwa watu wa Israeli. Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake. Zekaria 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+
16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Na mbingu na dunia zitatikisika;Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+Ngome kwa watu wa Israeli.
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.
8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+