Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Pia atamletea Yehova dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi aliyotenda;+ ataleta mnyama jike kutoka katika kundi, yaani, mwanakondoo jike au mwanambuzi jike, ili awe dhabihu ya dhambi. Kisha kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake.

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Ezekieli 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha akaniambia: “Vyumba vya kulia chakula vya kaskazini na vyumba vya kulia chakula vya kusini vinavyopakana na eneo lililo wazi+ ndivyo vyumba vya kulia chakula vilivyo vitakatifu ambamo makuhani wanaomkaribia Yehova hula matoleo matakatifu zaidi.+ Matoleo matakatifu zaidi, toleo la nafaka, dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia huwekwa humo, kwa sababu mahali hapo ni patakatifu.+

  • Ezekieli 44:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wao ndio watakaokula toleo la nafaka,+ dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia,+ na kila kitu kilichotolewa katika Israeli kitakuwa chao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki