20 Chumba hicho cha ndani zaidi kilikuwa na urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 20;+ naye akakifunika kwa dhahabu safi; akaifunika madhabahu+ kwa mbao za mierezi.
8 Kisha akajenga chumba cha Patakatifu Zaidi;*+ urefu wake ulilingana na upana wa nyumba, mikono 20, na upana wake ulikuwa mikono 20. Akaifunika kwa talanta 600* za dhahabu bora.+