33 Utalining’iniza pazia hilo chini ya vibanio na kuleta sanduku la Ushahidi+ humo, nyuma ya pazia. Pazia hilo litatenganisha Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+
6 Kisha makuhani wakalileta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani zaidi cha nyumba, yaani, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya makerubi.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipotengenezwa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ hivi kwamba sasa anaonekana mbele za* Mungu kwa ajili yetu.+