8 Kisha akajenga chumba cha Patakatifu Zaidi;*+ urefu wake ulilingana na upana wa nyumba, mikono 20, na upana wake ulikuwa mikono 20. Akaifunika kwa talanta 600* za dhahabu bora.+
4 Kisha akapima chumba kilichotazamana na sehemu ya nje ya patakatifu, na urefu wake ulikuwa mikono 20, na upana wake mikono 20.+ Naye akaniambia: “Hapa ndipo Patakatifu Zaidi.”+