Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Walawi waliokuwa na umri wa miaka 30 na zaidi walihesabiwa;+ idadi yao, mwanamume kwa mwanamume,* ilikuwa 38,000. 4 Walawi 24,000 kati yao walikuwa wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova, na kulikuwa na maofisa na waamuzi 6,000,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati aliwaweka baadhi ya Walawi na makuhani na baadhi ya viongozi wa koo* za Waisraeli watumikie wakiwa waamuzi kwa ajili ya Yehova na kusuluhisha kesi za wakaaji wa Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki