Mambo ya Walawi 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri. Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya uwongo* humchukiza Yehova,Lakini kipimo sahihi* humfurahisha.+ Amosi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mnaosema, ‘Sherehe ya mwezi mpya itakwisha lini,+ ili tuuze nafaka yetu,Na Sabato+ itakwisha lini, tukauze nafaka? Ili tupunguze kipimo cha efa*Na kuongeza uzito wa shekeli,*Kuipotosha mizani yetu ya udanganyifu;+ Mika 6:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovuNa kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza? 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+
36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri.
5 Mnaosema, ‘Sherehe ya mwezi mpya itakwisha lini,+ ili tuuze nafaka yetu,Na Sabato+ itakwisha lini, tukauze nafaka? Ili tupunguze kipimo cha efa*Na kuongeza uzito wa shekeli,*Kuipotosha mizani yetu ya udanganyifu;+ Mika 6:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovuNa kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza? 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+
10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovuNa kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza? 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+