- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 8:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        12 Kisha Sulemani akamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ kwenye madhabahu+ ya Yehova aliyokuwa amejenga mbele ya ukumbi.+ 13 Alifuata utaratibu wa kila siku kwa kutoa dhabihu kulingana na amri ya Musa iliyohusu Sabato,+ miezi mipya,+ na sherehe zilizoamriwa mara tatu kwa mwaka+—Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda.*+ 
 
-