Ezekieli 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “‘Mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mnapaswa kumtolea Yehova sehemu takatifu ya nchi kuwa mchango.+ Inapaswa kuwa na urefu wa mikono 25,000,* na upana wa mikono 10,000.+ Eneo hilo lote litakuwa* sehemu takatifu.
45 “‘Mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mnapaswa kumtolea Yehova sehemu takatifu ya nchi kuwa mchango.+ Inapaswa kuwa na urefu wa mikono 25,000,* na upana wa mikono 10,000.+ Eneo hilo lote litakuwa* sehemu takatifu.