Zaburi 103:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.* Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?
20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.*
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?