Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,Yakiwaangalia waovu na wema.+ Zekaria 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ni nani ameidharau siku inayoanza kwa mambo madogo?*+ Kwa maana watashangilia na kuona timazi* mkononi mwa Zerubabeli. Na haya macho saba ni macho ya Yehova, ambayo yanazunguka duniani kote.”+
10 Kwa maana ni nani ameidharau siku inayoanza kwa mambo madogo?*+ Kwa maana watashangilia na kuona timazi* mkononi mwa Zerubabeli. Na haya macho saba ni macho ya Yehova, ambayo yanazunguka duniani kote.”+