12 Makuhani wengi, Walawi, na viongozi wa koo*—wazee ambao walikuwa wameona ile nyumba ya kwanza+—wakalia kwa sauti kubwa walipoona msingi wa nyumba hii ukiwekwa, na wengine wengi wakapaza sauti yao yote kwa shangwe.+
3 ‘Ni nani aliyebaki miongoni mwenu ambaye aliiona nyumba hii* katika utukufu wake wa mwanzoni?+ Sasa mnaionaje? Je, hamwoni kwamba ni duni ikilinganishwa na ilivyokuwa?’+