Hagai 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa zamani?+ Nanyi mnaionaje sasa? Kwa kulinganisha, je, hii haionekani machoni penu kuwa kama si kitu?’+ Hagai Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:3 “Kila Andiko,” uku. 168
3 ‘Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa zamani?+ Nanyi mnaionaje sasa? Kwa kulinganisha, je, hii haionekani machoni penu kuwa kama si kitu?’+