6Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli* kutoka katika nchi ya Misri,+ mwaka wa nne baada ya Sulemani kuwekwa kuwa mfalme wa Israeli, mwezi wa Zivu*+ (yaani, mwezi wa pili), Sulemani alianza kujenga nyumba ya Yehova.*+
12 Makuhani wengi, Walawi, na viongozi wa koo*—wazee ambao walikuwa wameona ile nyumba ya kwanza+—wakalia kwa sauti kubwa walipoona msingi wa nyumba hii ukiwekwa, na wengine wengi wakapaza sauti yao yote kwa shangwe.+