Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:19-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakati wowote viumbe hai waliposonga, yale magurudumu yalisonga pamoja nao, na wale viumbe hai walipoinuliwa kutoka duniani, yale magurudumu yaliinuliwa juu pia.+ 20 Walienda popote ambapo roho iliwaelekeza kwenda, popote roho ilipoenda. Magurudumu yaliinuliwa pamoja nao, kwa maana roho iliyokuwa ikitenda katika wale viumbe hai* ilikuwa pia katika yale magurudumu. 21 Waliposonga, magurudumu hayo yalisonga; na waliposimama tuli, nayo yalisimama tuli; na walipoinuliwa juu kutoka duniani, magurudumu yaliinuliwa juu pamoja nao, kwa maana roho iliyokuwa ikitenda katika wale viumbe hai ilikuwa pia katika yale magurudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki