-
Isaya 5:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;
Na ije upesi ili tuione.
-
-
2 Petro 3:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kwanza kabisa mjue kwamba katika siku za mwisho wadhihaki watakuja na dhihaka zao, wakitenda kulingana na tamaa zao wenyewe+ 4 na kusema: “Kuko wapi huko kuwapo kwake kulikoahidiwa?+ Kwani tangu siku mababu zetu walipolala usingizi katika kifo, mambo yote yanaendelea kama yalivyokuwa tangu mwanzo wa uumbaji.”+
-