Yeremia 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama! Kuna wale wanaoniambia: “Neno la Yehova liko wapi?+ Na lije, tafadhali!” Mathayo 24:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 “Lakini ikiwa mtumwa huyo mwovu atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia,’+ Luka 12:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Lakini ikiwa mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’ naye aanze kuwapiga watumishi wa kiume na wa kike na kula na kunywa na kulewa,+
45 Lakini ikiwa mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’ naye aanze kuwapiga watumishi wa kiume na wa kike na kula na kunywa na kulewa,+