-
1 Wafalme 21:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+ 26 Alitenda kwa njia yenye kuchukiza kabisa kwa kufuata sanamu zenye kuchukiza,* kama Waamori wote walivyokuwa wamefanya, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.’”+
-