Mwanzo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Yehova akasema: “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora kwa kweli ni kikubwa,+ na dhambi yao ni nzito sana.+ Isaya 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hali ya nyuso zao inatoa ushahidi dhidi yao,Nazo zinatangaza dhambi yao kama Sodoma;+Hawajaribu kuificha. Ole wao,* kwa maana wanajiletea msiba! Yeremia 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+
20 Kisha Yehova akasema: “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora kwa kweli ni kikubwa,+ na dhambi yao ni nzito sana.+
9 Hali ya nyuso zao inatoa ushahidi dhidi yao,Nazo zinatangaza dhambi yao kama Sodoma;+Hawajaribu kuificha. Ole wao,* kwa maana wanajiletea msiba!
14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+