2 Wafalme 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mfalme wa Babiloni alimweka Matania, mjomba wa Yehoyakini,+ kuwa mfalme baada yake na kubadili jina lake kuwa Sedekia.+ Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia akaanza kutawala baada ya Konia*+ mwana wa Yehoyakimu, kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+
17 Mfalme wa Babiloni alimweka Matania, mjomba wa Yehoyakini,+ kuwa mfalme baada yake na kubadili jina lake kuwa Sedekia.+
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia akaanza kutawala baada ya Konia*+ mwana wa Yehoyakimu, kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+