Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki. Mambo ya Walawi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ukiuza au kununua chochote kutoka kwa mwenzako, usimpunje.+ Kumbukumbu la Torati 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+
15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.
16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+