-
Methali 19:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Ujinga wa mtu ndio unaopotosha njia yake,
Kisha moyo wake unamkasirikia vikali Yehova.
-
-
Ezekieli 33:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 “Lakini watu wako wamesema, ‘Njia ya Yehova si ya haki,’ ingawa kwa kweli ni njia yao isiyo ya haki.
-