Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Je, unasadiki kabisa kwamba uko sahihi hivi kwamba unasema,

      ‘Mimi ni mwadilifu kuliko Mungu’?+

  • Methali 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ujinga wa mtu ndio unaopotosha njia yake,

      Kisha moyo wake unamkasirikia vikali Yehova.

  • Ezekieli 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Lakini watu wako wamesema, ‘Njia ya Yehova si ya haki,’ ingawa kwa kweli ni njia yao isiyo ya haki.

  • Ezekieli 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Lakini ninyi mnasema, ‘Njia ya Yehova si ya haki.’+ Nitamhukumu kila mmoja wenu kulingana na njia zake, enyi watu wa nyumba ya Israeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki