25 “‘Lakini mtasema: “Njia ya Yehova si ya haki.”+ Tafadhali sikilizeni, enyi watu wa nyumba ya Israeli! Je, ni njia yangu isiyo ya haki?+ Je, si njia zenu ambazo si za haki?+
29 “‘Lakini watu wa nyumba ya Israeli watasema: “Njia ya Yehova si ya haki.” Je, ni kweli kwamba ni njia zangu ambazo si za haki, enyi watu wa nyumba ya Israeli?+ Je, si njia zenu ambazo si za haki?’