Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi, watu wakaona kwamba Musa amekawia sana kushuka kutoka mlimani.+ Kwa hiyo wakakusanyika kumzunguka Haruni na kumwambia: “Haya, tutengenezee mungu atakayetuongoza+ kwa sababu hatujui lililompata huyu Musa, mtu aliyetuongoza kutoka katika nchi ya Misri.”

  • Kutoka 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akachukua dhahabu iliyokuwa kwenye vipuli hivyo, akatengeneza sanamu* ya ndama kwa kifaa cha kuchongea.+ Watu wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.”+

  • Hesabu 25:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Waisraeli walipokuwa wakikaa Shitimu,+ watu walianza kufanya uasherati na mabinti wa Moabu.+ 2 Wanawake hao waliwaalika kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+

  • Matendo 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Basi Mungu akageuka na kuwaacha, akawakabidhi watoe utumishi mtakatifu kwa jeshi la mbinguni,+ kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Manabii: ‘Enyi nyumba ya Israeli, je, mimi ndiye mliyetolea matoleo na dhabihu nyikani kwa miaka 40?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki