Kumbukumbu la Torati 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha nikatazama na kuona kwamba mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejitengenezea ndama wa chuma.* Mlikuwa mmegeuka upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru mfuate.+ Isaya 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+ Matendo 7:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ndipo wakatengeneza ndama siku hizo na kuiletea sanamu hiyo dhabihu nao wakaanza kufurahia kazi za mikono yao.+
16 Kisha nikatazama na kuona kwamba mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejitengenezea ndama wa chuma.* Mlikuwa mmegeuka upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru mfuate.+
6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+
41 Ndipo wakatengeneza ndama siku hizo na kuiletea sanamu hiyo dhabihu nao wakaanza kufurahia kazi za mikono yao.+