Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.”

  • Yeremia 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+

      Na hakuna mvua ya masika.

      Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;

      Umekataa kuona aibu.+

  • Yeremia 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+

      Uliwapiga, lakini hawakusikia.*

      Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+

      Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+

      Nao wakakataa kugeuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki