Kutoka 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.” Yeremia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+Na hakuna mvua ya masika. Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;Umekataa kuona aibu.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+
9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.”
3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+Na hakuna mvua ya masika. Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;Umekataa kuona aibu.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+