2 Mambo ya Nyakati 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa jina la Mungu, akaendelea kuwa mkaidi* na mwenye moyo mgumu na kukataa kumgeukia Yehova Mungu wa Israeli. Ezekieli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Isitoshe, alimchukua mmoja aliyekuwa wa uzao wa*+ kifalme, akafanya naye agano na kumwapisha.+ Kisha akawachukua watu mashuhuri wa nchi,+
11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+
13 Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa jina la Mungu, akaendelea kuwa mkaidi* na mwenye moyo mgumu na kukataa kumgeukia Yehova Mungu wa Israeli.
13 Isitoshe, alimchukua mmoja aliyekuwa wa uzao wa*+ kifalme, akafanya naye agano na kumwapisha.+ Kisha akawachukua watu mashuhuri wa nchi,+