Yeremia 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nawe ukijiuliza moyoni mwako, ‘Kwa nini nimepatwa na mambo haya?’+ Umevuliwa nguo yako kwa sababu ya kosa lako kubwa+Na visigino vyako vimetendewa kikatili. Ufunuo 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama wa mwituni,+ hao watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula nyama yake na kumteketeza kabisa kwa moto.+
22 Nawe ukijiuliza moyoni mwako, ‘Kwa nini nimepatwa na mambo haya?’+ Umevuliwa nguo yako kwa sababu ya kosa lako kubwa+Na visigino vyako vimetendewa kikatili.
16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama wa mwituni,+ hao watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula nyama yake na kumteketeza kabisa kwa moto.+