Isaya 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki. Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+Na Waamoni watakuwa raia wao.+ Isaya 63:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*Huyu aliye na mavazi ya kifahari,Anayetembea kwa nguvu zake nyingi? “Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”
14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki. Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+Na Waamoni watakuwa raia wao.+
63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*Huyu aliye na mavazi ya kifahari,Anayetembea kwa nguvu zake nyingi? “Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”