-
Isaya 5:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Kwato za farasi wao ni kama jiwe gumu lenye makali,
Na magurudumu yao kama upepo wa dhoruba.+
-
-
Habakuki 1:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Farasi wao wa vita hukimbia mbele kwa kasi;
Farasi wao hutoka mbali sana.
Wanashuka chini kwa kasi kama tai anayekimbilia chakula.+
-