Habakuki 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+ Habakuki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:8 w00 2/1 11 Habakuki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:8 Mnara wa Mlinzi,2/1/2000, uku. 11
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+