Yeremia 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka. Ezekieli 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri; Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+ Ezekieli 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nitaufanya umati wako uuawe kwa panga za mashujaa hodari, Walio wakatili zaidi kati ya mataifa, wote.+ Watashusha chini kiburi cha Misri, na umati wake wote utaangamizwa.+
14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.
4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri; Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+
12 Nitaufanya umati wako uuawe kwa panga za mashujaa hodari, Walio wakatili zaidi kati ya mataifa, wote.+ Watashusha chini kiburi cha Misri, na umati wake wote utaangamizwa.+