Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+

  • Ezekieli 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema, ‘enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyoiambia milima, vilima, vijito na mabonde: “Tazameni! Ninaleta upanga dhidi yenu, nami nitaharibu mahali penu pa juu.

  • Ezekieli 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mwana wa binadamu, tabiri, ‘Yehova anasema hivi: “Sema, ‘Upanga! Upanga+ umenolewa, nao umesuguliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki