Yeremia 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nami nikawaweka walinzi+ waliosema,‘Isikilizeni sauti ya pembe!’”+ Lakini wakasema: “Hatutaisikiliza.”+ Zekaria 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+ “‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.
17 “Nami nikawaweka walinzi+ waliosema,‘Isikilizeni sauti ya pembe!’”+ Lakini wakasema: “Hatutaisikiliza.”+
4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+ “‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.