Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa sababu yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza mbele zangu, sitauleta msiba huo akiwa hai. Nitailetea nyumba yake msiba huo katika siku za mwanawe.”+

  • Yoeli 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ni nani ajuaye ikiwa hatabadili nia na kuufikiria upya*+

      Na kuwaachia baraka,

      Ili mweze kumtolea Yehova Mungu wenu toleo la nafaka na toleo la kinywaji?

  • Yona 3:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wote wavae magunia, mwanadamu na mnyama; na wamwite Mungu kwa bidii na kuacha njia zao ovu na matendo yao ya ukatili. 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”

      10 Mungu wa kweli alipoona waliyofanya, jinsi walivyoacha njia zao ovu,+ akafikiria upya kuhusu* msiba aliosema kwamba angewaletea, naye hakuuleta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki