-
Yona 3:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Wote wavae magunia, mwanadamu na mnyama; na wamwite Mungu kwa bidii na kuacha njia zao ovu na matendo yao ya ukatili. 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”
10 Mungu wa kweli alipoona waliyofanya, jinsi walivyoacha njia zao ovu,+ akafikiria upya kuhusu* msiba aliosema kwamba angewaletea, naye hakuuleta.+
-