Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+ Isaya 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+
14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+
9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+