Ezekieli 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katikati yake kulikuwa na mfano wa viumbe hai wanne,+ na kila mmoja wao alifanana na mwanadamu. Ezekieli 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Miguu yao ilikuwa imenyooka, na nyayo za miguu yao zilikuwa kama nyayo za ndama, nayo ilikuwa iking’aa kama shaba iliyong’arishwa.+
7 Miguu yao ilikuwa imenyooka, na nyayo za miguu yao zilikuwa kama nyayo za ndama, nayo ilikuwa iking’aa kama shaba iliyong’arishwa.+