6 “Baada ya hayo nikaendelea kuangalia, na tazama! mnyama mwingine, kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye alipewa mamlaka ya kutawala.
8 Kisha huyo mbuzi dume akajikweza kupita kiasi, lakini mara tu alipokuwa na nguvu, ile pembe kubwa ikavunjika; kisha mahali pake zikatokea pembe nne zilizokuwa zikionekana waziwazi, kuelekea zile pepo nne za mbingu.+
22 Kuhusu ile pembe iliyovunjika, kisha pembe nne zikatokea badala yake,+ kuna falme nne kutoka katika taifa lake zitakazosimama, lakini hazitakuwa na nguvu kama zake.