11 “Na tangu wakati wa kuondolewa kwa ile dhabihu inayotolewa daima*+ na kusimamishwa kwa kile kitu kinachochukiza sana kinachosababisha ukiwa,+ kutakuwa na siku 1,290.
15 “Kwa hiyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa, kama alivyosema nabii Danieli, kikiwa kimesimama mahali patakatifu+ (msomaji na atumie utambuzi),
14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+