Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na tangu wakati wa kuondolewa kwa ile dhabihu inayotolewa daima*+ na kusimamishwa kwa kile kitu kinachochukiza sana kinachosababisha ukiwa,+ kutakuwa na siku 1,290.

  • Mathayo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kwa hiyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa, kama alivyosema nabii Danieli, kikiwa kimesimama mahali patakatifu+ (msomaji na atumie utambuzi),

  • Marko 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+

  • Luka 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Hata hivyo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa na majeshi yaliyopiga kambi,+ jueni kwamba linakaribia kuharibiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki