Danieli 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na majeshi yatasimama, kutoka kwake; nayo yatachafua patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa ile dhabihu inayotolewa daima.*+ “Nao watasimamisha kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa.+ Marko 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+
31 Na majeshi yatasimama, kutoka kwake; nayo yatachafua patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa ile dhabihu inayotolewa daima.*+ “Nao watasimamisha kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa.+
14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+