Sefania 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ni mwadilifu miongoni mwake;+ hatendi kosa lolote. Asubuhi baada ya asubuhi hutangaza hukumu zake,+Kama nuru ya mchana isivyokosa kuangaza. Lakini asiye mwadilifu haoni aibu hata kidogo.+
5 Yehova ni mwadilifu miongoni mwake;+ hatendi kosa lolote. Asubuhi baada ya asubuhi hutangaza hukumu zake,+Kama nuru ya mchana isivyokosa kuangaza. Lakini asiye mwadilifu haoni aibu hata kidogo.+