Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:34-36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hawakuyaangamiza mataifa,+

      Kama Yehova alivyokuwa amewaamuru.+

      35 Lakini walichangamana na mataifa hayo+

      Na kuzikubali* njia zao.+

      36 Waliendelea kuabudu sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

  • Ezekieli 23:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.

      5 “Ohola akaanza kufanya ukahaba+ alipokuwa wangu. Aliwatamani kwa uchu wapenzi wake,+ majirani zake Waashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki