Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Ezekieli 36:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.’+ Zekaria 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”
33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
28 Kisha mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.’+
9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”