Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 20:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa hiyo yule Mlawi,+ mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu: “Mimi na suria wangu tulifika Gibea+ katika nchi ya Wabenjamini ili tulale usiku. 5 Kisha wakaaji* wa Gibea wakaja kunishambulia na kuizingira nyumba usiku. Walitaka kuniua, lakini wakambaka suria wangu, naye akafa.+ 6 Basi nikachukua maiti ya suria wangu na kuikatakata vipandevipande, kisha nikavipeleka vipande hivyo katika maeneo* yote ya urithi ya Waisraeli,+ kwa sababu walitenda jambo la aibu na lenye kufedhehesha katika Israeli.

  • Hosea 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wamezama ndani sana katika maangamizi, kama ilivyokuwa kule Gibea.+

      Atakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki