Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipokuwa wakila na kunywa, wanaume fulani wahuni katika jiji hilo wakaizingira nyumba na kuugonga mlango kwa fujo, huku wakimwambia hivi mzee huyo mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mwanamume aliyeingia nyumbani mwako, ili tufanye ngono naye.”+

  • Waamuzi 20:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa hiyo yule Mlawi,+ mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu: “Mimi na suria wangu tulifika Gibea+ katika nchi ya Wabenjamini ili tulale usiku. 5 Kisha wakaaji* wa Gibea wakaja kunishambulia na kuizingira nyumba usiku. Walitaka kuniua, lakini wakambaka suria wangu, naye akafa.+ 6 Basi nikachukua maiti ya suria wangu na kuikatakata vipandevipande, kisha nikavipeleka vipande hivyo katika maeneo* yote ya urithi ya Waisraeli,+ kwa sababu walitenda jambo la aibu na lenye kufedhehesha katika Israeli.

  • Hosea 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Enyi Waisraeli, mmetenda dhambi tangu kule Gibea.+

      Nao wanaendelea kutenda dhambi huko.

      Vita havikuwaangamiza kabisa wana wa ukosefu wa uadilifu kule Gibea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki