Zaburi 78:57, 58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Pia walipotoka na kutenda kwa hila kama mababu zao.+ Hawakutegemeka kama upinde uliolegea usivyotegemeka.+ 58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+ Yeremia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+
57 Pia walipotoka na kutenda kwa hila kama mababu zao.+ Hawakutegemeka kama upinde uliolegea usivyotegemeka.+ 58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+
6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+