Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:57, 58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Pia walipotoka na kutenda kwa hila kama mababu zao.+

      Hawakutegemeka kama upinde uliolegea usivyotegemeka.+

      58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+

  • Yeremia 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki