Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. 12 Atainua ishara* kwa ajili ya mataifa na kuwakusanya watu wa Israeli+ waliotawanywa, na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka katika pembe nne za dunia.+

  • Isaya 60:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni nani hawa wanaokuja wakiruka kama mawingu,

      Kama njiwa kwenye viota vyao?*

       9 Kwa maana visiwa vitanitumaini;+

      Meli za Tarshishi zinaongoza,*

      Kuwaleta wana wako kutoka mbali sana,+

      Pamoja na fedha yao na dhahabu yao,

      Kwa sifa ya jina la Yehova Mungu wako na ya Mtakatifu wa Israeli,

      Kwa maana atakutukuza.*+

  • Zekaria 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitawarudisha kutoka nchini Misri

      Na kuwakusanya kutoka Ashuru;+

      Nitawaleta katika nchi ya Gileadi+ na Lebanoni,

      Na hakutakuwa na nafasi zaidi ya kuwatosha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki