Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akiomboleza,

      ‘Umenirekebisha, nami nimerekebishwa,

      Kama ndama ambaye hajazoezwa.

      Nirudishe, nami nitageuka bila kusita,

      Kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.

  • Ezekieli 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.

  • Hosea 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,

      Na kisha watatafuta kibali changu.*+

      Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki