Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, zingatieni jambo hili, ninyi mnaomsahau Mungu,+Nisije nikawararua vipandevipande asiwepo yeyote wa kuwaokoa. Hosea 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,Na kama simba mwenye nguvu* kwa nyumba ya Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+
22 Tafadhali, zingatieni jambo hili, ninyi mnaomsahau Mungu,+Nisije nikawararua vipandevipande asiwepo yeyote wa kuwaokoa.
14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,Na kama simba mwenye nguvu* kwa nyumba ya Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+