Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+

      Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+

  • Yeremia 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitawapa moyo wa kunijua, kwamba mimi ni Yehova.+ Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao,+ kwa maana watarudi kwangu kwa moyo wao wote.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na jirani yake na kila mtu na ndugu yake, wakisema, ‘Mjue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, nami sitaikumbuka tena dhambi yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki